Basi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Minibus in Novoaltaisk 02.JPG|thumb|Basi dogo huko Novoaltaisk.]]
[[Picha:Yutong ZK6129H in Kraków (2).jpg|thumb|Basi la masafa marefu huko [[Krakow]], [[Polandi]].]]
[[Picha:FlixBus Setra S 431 DT - Berlin Alexanderplatz.jpg|thumb|flixbusFlixbus ujerumanihuko Ujerumani.]]
'''Basi''' (kutoka [[Kiingereza]] "bus") ni chombo cha [[usafiri]] kinachotumika kusafirisha [[watu]] kutoka eneo moja kwenda eneo jingine kwa ajili ya shughuli mbalimbali, kwa mfano [[kazi]], [[masomo]], [[utafiti]] na kadhalika.
 
Vyombo hivihivyo vipo vya aina mbalimbali, kwa mfano kuna mabasi madogo yanayobeba [[abiria]] wachache na kusafiri [[umbali]] wa kawaida, pia kuna mabasi makubwa yenye kubeba [[watu]] wengi kuanzia [[hamsini]] na kuendelea na [[mabasi]] hayo husafiri umbali mrefu: yanaweza kusafiri kutoka [[nchi]] moja kwenda nchi nyingine bila kumpumzishwa.
 
Katika utamaduni mwingine maneno haya yana maana tofauti, mfano nchini Uingereza ina maana pana, ina maana wakati unapoondoa mtoto kutoka nyumbani kwa mara ya kwanza<ref>[https://prestigeprams.co.uk/blogs/baby-travel-articles/baby-travel-tips-for-venturing-out-the-house]</ref>.
 
Katika [[dunia]] ya sasa mabasi yanatumika sana katika shughuli mbalimbali, kwa mfano shughuli za kiuchumi kwa kusafirisha [[wafanyakazi]] na [[wafanyabiashara]] katika [[nchi]] mbalimbali.