Paradigma ya programu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Removed category "script errors" |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Programming paradigm''' ni jumla ya mawazo na dhana zinazoainisha mtindo wa kutengeneza [[programu]] za [[kompyuta]].
Programming paradigm haiainishwi na lugha ya kutengeneza programu za kompuyta (programming language) tu. Karibu na lugha zote za kutengeneza programu za kompuyta za kisasa zinakubalia matumizi ya paradigms mbalimbali. Kwa mfano lugha ya C isiyo object-oriented inakubalia kutumiwa kufuatana na kanuni za object-oriented programming ingawa itakuwa na matatizo kadhaa. Functional programming inawezekana kutumiwa katika lugha yo yote ya imperative inayo functions na kadhalika.
== Historia ya istilahi ==
Istilahi
Istilahi
Floyd anazingatia kwamba katika kompuyta programming inawezekana kuona tokeo linalofanana na paradigms za Kuhn lakini kwa kutofautiana navyo programming paradigms hazitengani.<blockquote class="">
Mstari 14:
nazo.
</blockquote>Kwa hiyo kufuatana na Robert W Floyd kutofautiana na paradigms za kisayansi zilizoelezwa na Kuhn programming paradigms zinaweza kutangamana zikiongeza idadi yao mtengeneza programu anayodhibiti.
==Tanbihi==
{{reflist}}
[[Jamii:Kompyuta]]
|