RC Celta de Vigo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 7:
[[Celta]] haijawahi kushinda [[ligi]] wala [[Copa del Rey]], ingawa wamefika [[fainali]] mara [[tatu]]. Moja ya [[misimu]] bora ya [[timu]] ulikuwa [[1970]]-[[1971]], walipomaliza bila kufungwa [[mchezo]] nyumbani na walijulikana kama "wauaji wakuu". Celta alimaliza wa sita na alipata nafasi kwenye [[Kombe la UEFA]] kwa mara ya kwanza.
 
Klabu hiyo ilikamilisha nafasi yao bora ya kuwa wanne mwaka [[2002-03]], na kupata nafasi kwenye [[Ligi ya Mabingwa Ulaya]] ya 2003-04 , ambapo waliondolewa na [[Arsenal]] katika mzunguko wa 16. Katika [[2016]]-[[12072017]] [[UEFA Europa League]], Celta ilifikia [[nusu fainali]] za [[UEFA Europa League]] kwa mara ya kwanza, na kupoteza kwa [[Manchester United]].
 
{{mbegu-michezo}}
 
[[Jamii:Vilabu Mpira vya Hispania]]
[[Jamii:Viwanja vya mpira Hispania]]Club crest
Jina Real Club Celta de Vigo, S.A.D.
Jina la utani Célticos (The Celts/Celtics)
Celestes (The Sky Blues)
O Celtiña (The Lovely/Little Celta)
Iliundwa 23 Agosti 1923;Miaka 95 iliopita
Uwanja Abanca-Balaídos
Ujazo 29,000[1]
Mmiliki Carlos Mouriño
Raisi Carlos Mouriño
Kocha Mkuu Fran Escribá
Ligi La Liga
2018–19 La Liga, 17th
 
Rangi za nyumbani
 
Rangi za mbali