RC Celta de Vigo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''RC Celta de Vigo''' (inajulikana kama '''Celta Vigo''' au '''Celta''' tu) ni [[klabu]] ya [[soka]] ya [[Hispania]] iliyoko, [[Vigo]], [[Galisia]]. Kwa sasa [[timu]] yake inacheza [[La Liga]].
Timu iliundwa [[23 Agosti]] [[1923]] kutokana na muungano kati ya [[Real Vigo Sporting]] na [[Real Fortuna FC]]. [[Jina la utani]] Os Celestes, linatokana na kwamba wanacheza wakiwa wamevaa [[jezi]] za [[anga la bluu]] na [[soksi]] pamoja na [[kaptula]] [[nyeupe]].
|