'''Wandebele''' ni [[jina]] la [[Kundi|makundi]] mawili ya wasemaji wa [[lugha za Kibantu]] zinazofanana na [[Kizulu]].
*'''Wandebele wa Afrika Kusini''' huishi [[Afrika Kusini]] katika majimbo ya [[Mpumalanga]], [[Gauteng]] na [[Limpopo]]. Hujiita wenyewe '''amaNdebele''', lugha yao huitwa "Kindebele cha Kusini".
*'''Wandebele wa [[Zimbabwe''']] walihamia pale wakati wa [[Mfecane]] yaa niyaani kipindi cha mvurugo kilichosababishwa na [[vita]] zavya [[Shaka Zulu]]. [[Lugha]] yao hutiwa "Kindebele cha Kaskazini" na leo hii ni lugha kubwa ya pili ya [[Zimbabwe]] baada ya [[Kishona]].