Nyambono : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Nyambono''' ni kata ya [[Wilaya ya Musoma Vijijini]] katika [[Mkoa wa Mara]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''31216'''<ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/mara.pdf</ref>. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 18,106 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Mara - Musoma-District-Council]</ref>
Kata ya Nyambono inaundwa na vijiji vya Bugoji,
Kata ya nyambono inapakana na wilaya ya bunda kwa upande wa mashariki,kata ya Suguti kwa upande wa kaskazini na Nyamlandilila kwa upande wa magharibi na Bugwema kwa upande wa kusini,Kata ya nyambono inao watu mashuhuri na maarufu.(''<ref>edited by Sylas Magoti)</ref>
Wakazi na wenyeji wa kata Nyambono wanzo tamadauni zao za asili zinazo linda maadili ya Mtanzania
''
==Marejeo==
{{marejeo}}
|