Nyambono : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Nyambono''' ni [[kata]] ya [[Wilaya ya Musoma Vijijini]] katika [[Mkoa wa Mara]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''31216'''<ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/mara.pdf</ref>.
Kata ya
Kata ya Nyambono inaundwa na [[vijiji]] vya Bugoji, Nyambono, Kanderema, Kaburabura na Saragana ambapo ndipo [[makao makuu]] ya kata.
Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 18,106 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Mara - Musoma-District-Council]</ref> Sensa ilionyesha kuwa Nyambono ina [[idadi]] ya watu 18,106: [[wanaume]] 8,888 na [[wanawake]] 9,218.
Wenyeji wa kata hii ni [[Wajita]] na shughuli zao za kiuchumi ni [[kilimo]] cha [[mazao]] ya [[chakula]] na ya [[biashara]] kama vile [[pamba]], [[mahindi]] n.k. Pia wanajishughulisha na biashara ndogondogo.
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na upatikanaji wa [[mawasiliano]] ya [[simu]] kama vile Airtel na Vodacom.
Kuna [[usafiri]] wa kila [[siku]] wa kwenda na kurudi [[Bunda]].
Pia kuna [[zahanati]] ambayo hivi karibuni imepandishwa hadhi kuwa [[kituo cha afya]].
Kata ina watu mashuhuri na maarufu.(''<ref>edited by Sylas Magoti)</ref>
Wakazi na wenyeji wa kata
▲Kata ya nyambono inapakana na wilaya ya bunda kwa upande wa mashariki,kata ya Suguti kwa upande wa kaskazini na Nyamlandilila kwa upande wa magharibi na Bugwema kwa upande wa kusini,Kata ya nyambono inao watu mashuhuri na maarufu.(''<ref>edited by Sylas Magoti)</ref>
▲Wakazi na wenyeji wa kata Nyambono wanzo tamadauni zao za asili zinazo linda maadili ya Mtanzania
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{Kata za Wilaya ya Musoma Vijijini}}
{{mbegu-jio-mara}} [[Jamii:Wilaya ya Musoma Vijijini]]
|