Taiwan : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Habst (majadiliano | michango) pia Taiwani |
||
Mstari 1:
[[Picha:Taiwan-CIA WFB Map.png|thumbnail|right|250px|Ramani ya Taiwan]]
'''Taiwan''' (pia: Taiwani, Formosa) ni [[kisiwa]] cha [[Asia ya Mashariki]] katika [[Pasifiki]]. Iko upande wa kusini-mashariki ya [[China]], kusini ya [[Japani]] na kaskazini ya [[Ufilipino]]. Jina la zamani la Taiwan ilikuwa "Formosa" ([[kireno]]: kisiwa kizuri, cha kupendeza)
Taiwan ni pia sehemu kubwa ya eneo la [[Jamhuri ya China]] iliyoko kisiwani Taiwan na pia kwenye visiwa vingine vidogo nje ya China bara.
|