Wikipedia:Sanduku la mchanga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tag: Reverted
No edit summary
Tag: Reverted
Mstari 11:
Hata katika vitabu vya dini {biblia au misaafu} tunaona kuwa Yesu alipokuwa duniani alijitahidi kutenda yale ambayo yalimtukuza Mungu na kuwafurahisha wanadamu .Hivyo basi tunatakiwa kuiga mfano wa Yesu alipo kuwa hapa duniani kwa kujitahidi kuyatenda yele tunayopenda kutendewa kwani "auaye kwa upanga atauawa kwa upanga" na "kipimo uwapimiacho wengine ndicho utakacho pimiwa"
 
AsanteAsanteni sana.