Rayvanny : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 41.75.220.192 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni Tag: Rollback |
d nimebadilisha ili kuongeza taarifa |
||
Mstari 18:
'''Raymond Shaban Mwakyusa''' (anafahamika zaidi kwa jina lake kama '''Rayvanny'''; amezaliwa [[22 Agosti]] [[1994]]) ni [[mwimbaji]] na [[mtunzi]] wa [[muziki]] wa kizazi kipya kutoka [[Tanzania]] (kwa asili ni mtu wa mkoani [[Mbeya]]).
"Rayvanny" alianza kujulikana kupitia [[wimbo]] wake "[[Kwetu]]"<ref>{{Cite web|url=http://www.mtvbase.com/news/acts-to-lookout-for-in-2017/vnwv7i|title=mtv news {{!}} top african acts to lookout for in 2017 {{!}} MTV Africa|website=www.mtvbase.com|access-date=2017-10-03}}</ref> si siku nyingi sana tangu [[Harmonize]] atoe wimbo wake wa [[Bado|Bado.]] Baadaye Natafuta Kiki, Sugu ambayo imetolewa kama wimbo wa ziada tu hasa ukizingatia umechukua biti ya Bow Wow (What's My Name). Halafu Mbeleko, Shikwambi, Zezeta na Kijuso aliyoimba na [[Queen Darleen]]
==Albamu==
|