Jerry Rawlings : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 75:
Wazazi wake wanaitwa Victoria Agbotui na James Ramsey John.  Mama yake alitoka Gold Coast.  Baba yake aliishi katika ngome ya Douglas katika Kirkcudbrightshire nchi ya Scotland.  Makabila ya mama yake yalikuwa Nzema na Ewe lakini hii haikuathiri siasa zake.  
 
== Elimu na hudumuhuduma kwa jeshi ==
Alienda shule ya upili ya Achimota kisha alisoma Chuo cha Achimota.  Alijunga na Jeshi la Anga la Ghana muda mfupi baadaye.  Katika Jeshi la Anga, aliishi Takoradi, katika Mkoa wa Magharibi wa Ghana, ili kuendelea na masomo.  Yeye alihitimu mnamo mwezi wa kwanza mwaka 1969 na kuwa Afisa Mwanahewa. Yeye alikuwa luteni katika jeshi la anga la Ghana mwezi wa nne mwaka wa 1978.