Chansela (kiongozi) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Chansella''' ([[Kijerumani]]: "Kanzler") ni cheo cha mkuu wa [[serikali]], lakini si mkuu wa dola, katika [[Ujerumani]] na [[Austria]]. Hapa inafanana na cheo cha waziri mkuu.
Menginevyo neno hili limemaanisha vyeo mbalimbali vya
Katika nchi zenye lugha ya [[Kijerumani]] cheo kikawa cheo cha mkuu wa serikali. Uswisi linamaanisha Katibu Mkuu wa ofisi ya serikali.
Huko Uingereza chansella ("Chancellor") ni cheo cha waziri ya fedha.
|