Chansela (kiongozi) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 7:
Huko [[Uingereza]] chansella ni cheo cha waziri ya fedha ("Chancellor of the Exchequer") pia cheo cha afisa mkuu wa bunge ("Lord Chancellor") ambaye ni mwenyekiti wa nyumba ya juu bungeni.
 
Cheo cha chansella kinapatikana kimataifa pia kwenye '''vyuo vikuu''' vya nchi mbalimbali likimtaja ama mkuu wa chuo au mkuu wa utawala wa chuo. Katika nchi kadhaa za Afrika rais wa taifa amejipatia au kupatiwa cheo cha chansella wa chuo kikuu. Katika nchi hizi -jinsi ilivyokuwa nchini Kenya hadi mwaka 2003- mkuu halisi wa chuo alikuwa na cheo cha makamu wa chansella.