Ulanzi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
kusafisha makala, si kinywaji cha Wapangwa tu |
||
Mstari 1:
'''Ulanzi''' ni [[pombe]] ambayo hugemwa kwenye mianzi midogomidogo ambayo haijakomaa, pindi tu, inapochomoza kutoka ardhini baada ya siku chache. Ulanzi unapogemwa kwa mara ya kwanza huwa mtamu kama mtobe au [[juisi]], lakini unapomaliza siku mbili, tatu au nne, huwa mkali. ▼
'''Ulanzi''' ni pombe inayotengenezwa kwa kutumia utomvu wa mianzi midogo ya aina Oxytenanthera abyssinica ambayo haijakomaa.
Ulanzi ni pombe ya asili sana kwa [[Wapangwa]], maana ni jadi kwao kunywa ulanzi, na hata watoto wadogo hupewa ulanzi kama juisi. Ulanzi, kwa Wapangwa ni pombe ambayo inaheshimika sana, maana hata wanapokwenda shambani, huenda na ulanzi, na kama ukimpeleka mfanyakazi shambani bila ulanzi, huwa anakaidi kufanya kazi, mpaka apewe ulanzi.▼
Mianzi inayoanza kukua hukatwa vilele wakati wa majira ya mvua. Utomvu hukusanywa katika chombo. Kiowevu hiki kinaanza kuchachuka mara moja.
▲
▲Ulanzi ni pombe ya asili sana kwa [[Wakinga]] na [[Wapangwa]], maana ni jadi kwao kunywa ulanzi, na hata watoto wadogo hupewa ulanzi kama juisi. Ulanzi
▲Hata katika harusi na sherehe nyingine za kimila kama vile kujengea [[Kaburi|makaburi]] (Mahoka), mila za kumrudisha mjane nyumbani (Ngotora), mila za kuabudu [[miungu]], n.k., Ulanzi ndio huwa unatumika zaidi ya pombe nyingine.
[[Jamii:Vinywaji]]
|