Majadiliano ya Wikipedia:Mradi wa Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→UTAMADUNI: mjadala mpya |
|||
Mstari 15:
Utamaduni wa Watu wa Kata ya Tawa (Waluguru) ni aina iliyo tofauti kabisa na makabila mengine. Mkuu wa Kata hiyo kihistoria (Kama ilivyokuwa kwa Kata za Kibogwa, Kibungo Juu, Tegetero, Kisemu, Konde, Kasanga, na baadhi ya Maeneo yote ya Mgeta) alijulikana kwa jina maarufu la Kingalu. Aidha, miongoni mwa maeneo maarufu ya Kitamaduni ni pamoja na Maporomoko ya Mto Mmanga. Wenyeji wa Morogoro huwarithisha vizazi vyao maadili, mila, tamaduni na desturi vizazi vyao kwa unyago na ngoma mbalimbali.
Ni utamaduni wa wenyeji wa Kata hiyo, pale ambapo binti amevunja
Utamaduni wa ngoma za wenyeji wa Kata ya Tawa umechanganyika na wa ngoma za asili ya makabila za Kizaramo, Kipogoro na Wamakonde. Ngoma maarufu kwa wenyeji wa Kata ya Tawa ni; Mganda, Kibende, Mbeta, Gombesugu, Mkwajungoma n.k.)
|