Uzima wa milele : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Protected "Uzima wa milele" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho) [Kuhamisha=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
No edit summary
Mstari 4:
[[Biolojia]] inaonyesha kuwa [[uhai]] wa [[mwili]] una mipaka, wala [[sayansi]] na [[teknolojia]] hazijaweza kuivuka.
 
Hata hivyo, toka zamani [[binadamu]] ameonyesha kwa njia nyingi [[hamu]] ya kuendelea kuishi kwa namna moja au nyingine.
 
[[HadithiUtenzi yawa Gilgamesh]], kimoja kati ya [[vitabu]] vya kwanza vya [[fasihi andishi]] ([[karne ya 22 KK]] hivi), kinasimulia habari za [[mtu]] aliyetaka kuishi [[milele]].<ref name="Garreau">{{cite journal |author=Joel Garreau |authorlink=Joel Garreau |title=The Invincible Man |date=October 31, 2007 |url=http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2007/10/30/AR2007103002222_pf.html |pages=C01 |journal=The Washington Post}}</ref>
 
==Katika dini==
Katika [[dini]] mbalimbali, [[uzima]] wa [[milele]] unatarajiwa kutoka kwa [[Mwenyezi Mungu]] (au [[miungu]]) kama [[tuzo]] kwa matu aliyefuata [[uadilifu]] wakati wa kuishi [[dunia]]ni.
 
Uzima wa milele ndio [[ahadi]] kuu ya [[Yesu]] kwa wafuasi wake, hasa kadiri ya [[Injili ya Yohane]]. Sura ya 17 ya [[Injili]] hiyo inafafanua uzima wa milele kuwa [[uhusiano]] na [[Mungu]] na [[Yesu Kristo]] mwenyewe.