Angellah Kairuki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
fomati |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki''' (alizaliwa [[10 Septemba]] [[1976]]) ni [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]]
Mwaka 2015
Kapata elimu yake ya upili katika shule ya upili ya Kilakala 1991 – 1994, elimu ya juu ya upili katika Shule ya upili ya wasichana Zanaki 1995 – 1997. Alipata shahada yake ya sheria kutoka chuo kikuu cha Hill nchini Uingereza mwaka 1998 - 2001. Alipata Stashahada ya uzamili katika sheria Chuo Kikuu Cha Staffordshire kwa kushirikiana na mafunzo ya kati ya sheria 2001 – 2002. Alifanyakazi katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu kama atibu wa sheria na wakili kati ya mwaka 2004 na 2008. Kairuki alihamia sekta binafsi kama mkuu wa idara ya maadili, mwafaka na Utawala katika VODACOM Group PTY.
==
<references/>
1. 1 2 3 "Profile: Hon. Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki". Parliament of Tanzania. Retrieved October 25, 2016.▼
== Marejeo ==
▲1.
3. "Case Studies: Angellah Kairuki". African Leadership Institute. Retrieved October 25, 2016.
{{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}}
[[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Jamii:Bunge la Tanzania]]
[[Jamii:Wanasiasa wanawake Tanzania]]
[[Jamii:Wabunge wa Tanzania]]
|