Mwajuma Abdul : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mwajuma Abdul''' (
==Maisha ya Mwanzo==
Mwajuma alipata [[elimu]] ya msingi katika [[shule]] ya [[Mjimwema]] na kujiunga shule ya [[sekondari]] ya
Mwajuma Abdul au Maimuna alizaliwa mwaka 1977 jijini Dar es salaam, alipata elimu ya awali shule ya msingi Mjimwema. Elimu ya sekondari alisoma shule ya Iringa Girls School. Kuhusu fani ya uigizaji, alianza toka alivyokuwa shule ya msingi. Na hata baada ya kumaliza masomo, aliamua kuendelea na sanaa kwa kujiunga na kikundi cha ''The Lighters'' kilichokuwa na Maskani yake Kimara. Pia, anashiriki katika mchezo wa redio wa ''Twende'' na wakati unarushwa na kituo cha redio Tanzania. Amesema baada ya kutoka Lighters aliamua kujiunga na Kaole kwa ajili ya kufanya sanaa za kwenye Luninga. Alijitoa Kaole na kujiunga na kundi la ''Alwatan Artist Theatre''. Alitaja baadhi ya Sinema alizocheza ni pamoja na ''Joram Lazima Ufe'', ni kitabu kilichoandikwa na mwandishi maarufu barani Afrika, [[Ben Mtobwa]]. Kitabu hicho kimejipatia umaarufu mkubwa ndani ya nchi na nje ya mipaka ya Tanzania. Sinema nyingine alizocheza ni ''Uwanja wa Dhambi''. Katika filamu hiyo amecheza kama Maimuna. Sinema ni ''I love you'' amecheza kwa jina Rose, Husda amecheza kwa jina la Rose, nyingine ''Zindiko'' amecheza kwa jina la Amanda. Kuhusu wa wasanii wa Kibongo anavutiwa na [[Anne Mwampamba]] na [[Mikala]]. Wasanii wa nje wanamvutia ni [[Bruce Lee]], [[Anjela Mau]] na [[Genenve Nnanji]]. Pia ameshiriki katika tamthilia inayotengenezwa na Benchmak inayoitwa hukumu ya Tunu itanayorushwa na ITV.
{{DEFAULTSORT:Abdul, Mwajuma}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1976]]
[[Jamii:
[[Jamii:
|