Welisi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 63:
[[Picha:Map of Wales.GIF|thumb|right|250px|Ramani ya Welisi]]
'''Welisi''' (kutoka [[
Welisi ni [[rasi]] kubwa inayoingia katika sehemu ya [[Bahari Atlantiki]] inayotenganisha Britania na [[Eire]] (Ireland)
Mji mkuu ni [[Cardiff]] (kwa Kiwelisi: ''Caerdydd'').
[[Idadi]] ya wakazi ni karibu [[milioni]] [[tatu]]. [[Lugha]] asilia ni [[Kiwelisi]] ambacho ni kimoja kati ya [[lugha za Kikelti]]. Leo hii kuna bado [[asilimia]] 20
==Historia==
Welisi ilikaliwa na [[makabila]] mbalimbali ya [[Wakelti|Kikelti]] wakati kisiwa cha Britania kilivamiwa na [[Dola la Roma
Tangu kuingia kwa [[Waanglia-Saksoni]] kisiwani na uenezi wao katika [[karne ya 5]] milima ya Welisi ilibaki eneo ambako [[utamaduni]] wa Wakelti uliendelea kustawi.
Katika karne ya 18 na 19 Welisi iliona kuongezeka kwa viwanda; [[makaa mawe]] na magodi ya [[shaba]] na [[chuma]] yaliweka msingi kwa tasnifu ya viwanda. Viwanda vya Welisi vilizalisha karibu nusu ya chuma chote cha Uingereza. Wakazi waliongezeka hasa katika kusini kwa sababu wafanyakazi Waingereza walihamia Welisi. Katika karne ya 20 akiba za [[malighafi]] ziliisha na viwanda vingi vilifungwa.▼
Baada ya Ufalme wa Uingereza kuungana na [[Uskoti]] na [[Eire]] Welisi ilitambuliwa kama sehemu asilia ya Ufalme wa Muungano.
▲Katika [[karne ya 18]] na [[Karne ya 19|19]] Welisi iliona kuongezeka kwa [[viwanda]]; [[makaa mawe]] na
Katika [[karne ya 20]] [[akiba]] za [[malighafi]] zilikwisha na viwanda vingi vilifungwa.
Mwaka wa [[1998]] Welisi ilipewa [[bunge]] lake la pekee linalosimamia matumizi ya makisio yake na kuchagua [[serikali]] ya eneo.
{{mbegu-jio-Ulaya}}
|