Gujarat : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
+Ahmedabad |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Gujarat in India (disputed hatched).svg|thumb|right|250px|Gujarat kwenye [[ramani]] ya India.]]
[[Picha:Gujarat map with Gir Nat Park-de.svg|thumb|250px|Ramani ya Gujarat.]]
[[Picha:Gujarat locator map.svg|thumb|right|250px|Ramani ya Gujarat.]]
'''Gujarat''' ni [[jimbo]] la kujitawala ndani ya [[shirikisho]] la [[Uhindi]].
[[Mji mkuu]] ni [[Gandhinagar]] ambao ni [[mji]] mpya uliopewa [[jina]] hilo kwa [[heshima]] ya [[Mahatma Gandhi]] aliyezaliwa [[Porbandar]], jimboni Gujarat. Mji mkubwa ni [[Ahmedabad]].
Gujarat ina eneo la [[km²]] 196,024 zinazokaliwa na [[watu]] [[milioni]] 50.
[[Lugha rasmi]] ni [[Kigujarati]] inayotumiwa na [[asilimia]] 80 za wakazi.
Wengi wao ni [[Wahindu]] (89[[%]]), kuna pia [[Waislamu]] (9%) na [[Wajain]] (1%).
== Viungo vya nje ==
{{Commons}}▼
* {{en}} [http://www.gujaratindia.com/ Tovuti rasmi]
▲{{Commons}}
{{India}}
{{Mbegu-jio-Uhindi}}
|