Robert Mugabe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<blockquote></blockquote>[[File:Robert Mugabe, 12th AU Summit, 090202-N-0506A-417.jpg|thumb|right|150px|Robert Mugabe (2009)]]
'''Robert Gabriel Mugabe''' ([[21 Februari]] [[1924]] - [[6 Septemba]] [[2019]])
Mwaka 1980 alikuwa [[waziri mkuu]] na mwaka [[1987]] [[Orodha ya Marais wa Zimbabwe|Rais wa Zimbabwe]]. Kabla ya wakati ule aliongoza upinzani wa ZANU dhidi ya [[serikali]] ya [[walowezi]] [[Waingereza]] nchini waliofuata [[siasa]] ya [[ubaguzi wa rangi]].
Mugabe alirudiwa katika uchaguzi mbalimbali. Tangu mwaka 2000 uchaguzi hizi zimekuwa mashakani kutokana na matishio na matumizi ya mabavu dhidi ya wapinzani. Utawala wa Mugabe umeitwa wa kidikteta tangu mwaka 2002. Kutokana na mashataka dhidi ya serikali ya Mugabe ya kudharau haki za binadamu nchi Zimbabwe ilisimamishwa ndani ya [[Jumuiya ya Madola]]. Mugabe pamoja na mawaziri wake na viongozi wa chama chake hawaruhusiwi kusafiri kwenda nchi za [[Umoja wa Ulaya]] na [[Marekani]]. ▼
▲Mugabe
Mwanzoni wa utawala wake Mugabe alisifiwa kujenga uchumi na sera ya elimu nchini. Zimbabwe ilikuwa nchi iliyouza vyakula vingi nje. Tangu mwanzo wa milenia mpya pamoja na mashtaki ya udikteta hali ya uchumi ulirudi nyuma. Takriban milioni mbili za raia wa Zimbabwe wameondoka nchini wakikaa kama wakimbizi [[Afrika Kusini]].▼
▲Mwanzoni
==
Baada tu ya kushika [[madaraka]], Mugabe aliamua kuimarisha [[jeshi]] lake la kumlinda (liitwalo Gukurahundi) ambalo
Mara baada ya uchaguzi tu mwezi Novemba 1980 Mugabe alianza kampeni ya kuua kwa wingi watu wa kabila la
▲Baada tu ya kushika madaraka, Mugabe aliamua kuimarisha jeshi lake la kumlinda (liitwalo Gukurahundi) ambalo lilijengwa na watu kutoka kabila lake la wa-Shona. Nchi hiyo ilikuwa tayari imegawanyika kikabila hata katika uchaguzi wa kwanza wa 1980, washona wote walimchagua Mugabe na Wa-Ndebele na wabunge kutoka chama cha ZANU. Wakati wandebele walichagua viongozi kutoka chama cha ZAPU kilichoongozwa na Joshua Nkomo.
▲Mara baada ya uchaguzi tu mwezi Novemba 1980 Mugabe alianza kampeni ya kuua kwa wingi watu wa kabila la wa-Ndebele ambao mjia wao mkubwa unaitwa Bulawayo. Ingawa mauaji hayo hayakufikia kiwango cha yale ya Rwanda na Burundi, waliuawa wanawake, wanaume, watoto na hata vichanga vilivyokuwa matumboni. Mwaka 1981 pia Mugabe aliendelea kuua wandebele tukio ambalo halikutangazwa sana na vyombo vya habari. Kuanzia enzi hizo hadi leo raisi Mugabe amejaribu kushinda kila uchaguzi unaokuja nchini huko kwa kutumia nguvu za kikabila na mabavu.
{{mbegu-mwanasiasa}}
[[Category:Waliozaliwa 1924|Mugabe, Robert Gabriel]]
[[Jamii:Waliofarika 2019|M]]
[[Category:Viongozi wa Afrika|Mugabe, Robert Gabriel]]
[[Category:Marais wa Zimbabwe|Mugabe, Robert Gabriel]]
|