Mark Ruffalo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Mark Ruffalo (36201774756) (cropped).jpg|thumb]]
'''Mark Ruffalo''' (/ˈrʌfəloʊ/; Amezaliwaamezaliwa [[Kenosha]], [[Wisconsin]], [[Novemba 22]], [[1967]]) ni [[muigizaji]] wa kimarekani na pia ni mtayarishaji wa [[filamu]] wa [[Marekani]].

Alianza kuigiza manamomnamo [[miaka ya 1990s1990]] na kupata umaarufu mkubwa kutoka kwenye [[maigizo]] mbalimbali kama vile ''This is our youth'' na ''You Can Count On Me''. Aliendelea na maigizo na akajulikana zaidi pale alipokua mhusika katika filamu zilizotengenezwa na Marvel Studios kama [[Bruce Barner]] ([[Hulk]]) ambapo aliigiza filamu kama vile The Avengers (2012), Avengers: Age of Ultron (2015), Thor: Ragnarok (2017), [[Avengers: infinity war (filamu)|Avengers: Infinity War]] ([[2018]]), na [[Avengers: Endgame]] (2019).
 
== Maisha ya awali ==
Mark alizaliwa Kenosha, [[Wisconsin]]. [[Mama]] yake aitwaye Marie Rose alikua nialikuwa msusi wa nywele na [[Babababa]] yake Frank Lawrence Ruffalo Jr, Alikua nialikuwa mpaka [[rangi]] katika majengo. Ana dada wawili ambao ni Tania na Nicole, na pia alikuaalikuwa na kaka aliyeitwa Scott ambaye alifariki mwaka [[2008]].
 
 
 
{{mbegu-igiza-filamu}}
<br />
[[Jamii:Waliozaliwa 1967]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Waigizaji filamu wa Marekani]]