Atomu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 10:
Atomi ni ndogo kiasi ya kwamba hazionekani kwa [[macho]] wala kwa [[hadubini]] za kawaida. Kwa sababu hiyo wataalamu waliunda vielelezo mbalimbali vinavyojaribu kuunganisha tabia mbalimbali za atomi zinazopimiwa.
Kielelezo cha [[Ernest Rutherford]] kinasema kwamba katikati ya atomi kuna kiini chenye sehemu kubwa ya maada ya atomi yote. [[Kiini cha atomi]] hufanywa na protoni na neutroni. Atomi za elementi ileile zinaweza kutofautiana katika idadi ya neutron ndani ya kiini na hali hizi tofauti huitwa [[
Kiini huzungukwa na ganda ambalo ni si dutu imara lakini nafasi ya njia ambako electron huzunguka kiini. Nafasi hizi huitwa [[duara ya elektroni]]. Kielezo hiki kimekuwa msingi wa vielelezo vingine kama kile cha Bohr.
|