Shairi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 41.59.211.30 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 197.250.101.228 Tag: Rollback |
Tags: Mobile edit Mobile app edit Android app edit |
||
Mstari 25:
Vilevile huitwa ''mashairi funge'' - ni mashairi yanayozingatia kanuni za muwala/urari (ulinganifu) wa mizani, vina, idadi ya mistari katika kila [[ubeti]] na kituo katika shairi.
mashairi huru
Haya ni mashairi yasiyozingatia kanuni za kimapokeo, yaani, hayazingatii kanuni za muwala/urari (ulinganifu) wa mizani, vina, idadi ya mistari katika kila ubeti na kituo katika shairi.
Mashairi haya pia huitwa ''mashairi huru''/''mashairi ghuni''/''mashairi ya kisasa''/''masivina''/''mapingiti''.
|