Shairi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 41.59.211.30 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na 197.250.101.228
Tag: Rollback
Tags: Mobile edit Mobile app edit Android app edit
Mstari 25:
Vilevile huitwa ''mashairi funge'' - ni mashairi yanayozingatia kanuni za muwala/urari (ulinganifu) wa mizani, vina, idadi ya mistari katika kila [[ubeti]] na kituo katika shairi.
 
mashairi huru
===(ii) Mashairi ya kisasa===
Haya ni mashairi yasiyozingatia kanuni za kimapokeo, yaani, hayazingatii kanuni za muwala/urari (ulinganifu) wa mizani, vina, idadi ya mistari katika kila ubeti na kituo katika shairi.
Mashairi haya pia huitwa ''mashairi huru''/''mashairi ghuni''/''mashairi ya kisasa''/''masivina''/''mapingiti''.