Zimbabwe African People's Union : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Zimbabwe African People's Union flag.svg|250px|thumb|[[Bendera]] ya ZAPU.]]
'''Zimbabwe African People's Union (ZAPU)''' ni [[chama cha kisiasa]] nchini [[Zimbabwe]].
Iliundwa [[mwaka]] [[1961]] na [[Joshua Nkomo]] katika [[Rhodesia Kusini]]
Nkomo alimteua [[Robert Mugabe]] kuwa [[Katibu Mkuu]] akaendelea na nafasi hii hadi [[1963]]. Mwaka ule Nkomo alihamisha [[makao makuu]] ya chama kwenda [[Tanzania]] akasimamisha [[viongozi]] kadhaa waliowahi kumpinga
Wakati wa vita ya msituni ya Rhodesia jeshi la ZIPRA kuanzia mwaka [[1966]] ilikuwa na makambi yake [[Zambia]] na ZAPU ilipokea misaada kutoka [[Urusi]] wakati ZANU ilipokea misaada na mwongozo wa kiitikadi kutoka [[China]].
ZAPU ilianzishwa kama chama cha kitaifa lakini katika kipindi cha [[vita]] [[Washona]] walikaa zaidi upande wa ZANU ilhali ZAPU ilibaki na wafuasi upande wa [[Wandebele]], [[kabila]] la Nkomo.
Mwaka [[1980]], baada ya [[mapatano ya Lancaster House]] na mwisho wa vita ya msituni kulikuwa na
Nkomo na ZAPU waliingia katika [[serikali ya umoja]] wa Zimbabwe wakajiona wanabagubuliwa na Mugabe na ZANU; mapigano yalitokea baina ya [[wanajeshi]] wa ZIPRA
Nkomo alikumbia Zimbabwe 1963 akarudi 1987 akikubali maungano ya vyama vya ZANU na ZAPU kuwa ZANU-PF. Alikuwa makamu wa rais Mugabe. Alishtakiwa na wafuasi kadhaa kusaliti chama na watu wake akajieeza kuwa alitafuta amani hii kwa kusudi la kumaliza mauaji wa Wandebele na wanachama wa ZAPU.▼
▲Nkomo
{{mbegu-siasa}}
[[Jamii:Historia ya Zimbabwe]]
|