Robert Mugabe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
→‎Tuhuma za mauaji na ukandamizaji: mpangilio, masahihisho madogo
Mstari 9:
 
==Tuhuma za mauaji na ukandamizaji==
Baada tu ya kushika [[madaraka]], Mugabe aliamua kuimarisha [[jeshi]] lake la kumlinda (liitwalo Gukurahundi) ambalo liliundwa na [[watu]] kutoka [[kabila]] lake la [[Mashona]]. Nchi hiyo ilikuwa tayari imegawanyika kikabila hata katika uchaguzi wa kwanza wa 1980, Mashona wote walimchagua Mugabe na [[Wandebele]] na [[wabunge]] kutoka chama cha ZANU. Wakati Wandebele walichagua viongozi kutoka chama cha [[ZAPU]] kilichoongozwa na [[Joshua Nkomo]].
 
Baada tu ya kushika [[madaraka]], Mugabe aliamua kukandamiza upinzani dhidi yake aliyoona kati ya wanachama wa ZAPU na wanajeshi wake wa ZIPRA waliowahi kurudi. Alishinda majaribio ya uasi wa askari wa ZIPRA 1980 kwa msaada wa vikosi vya Rhodesian Defence Force. 1981 Mugabe aliunda kikosi kipya cha "Brigedi ya Tano" kilichofanywa na wanamigambo wa [[ZANLA]] wa awali (jeshi la chama chake ZANU) na kufundishwa na washauri kutoka Korea Kaskazini. Brigedi hii ilitumwa katika maeneo ya Wandebele katika kusini ya Zimbabwe (mazingira ya [[Bulawayo]]) kutafuta askari wa ZIPRA mafichoni; katika mauaji ya [[Gukurahundi]] yaliyoendelea hadi 1984 ni Wazimbabwe 20,000 wanakadiriwa waliuawa.
Mara baada ya uchaguzi tu mwezi Novemba 1980 Mugabe alianza kampeni ya kuua kwa wingi watu wa kabila la Wandebele ambao [[mji]] wao mkubwa unaitwa [[Bulawayo]]. Ingawa [[Mauaji ya kimbari|mauaji]] hayo hayakufikia kiwango cha yale ya [[Rwanda]] na [[Burundi]], waliuawa [[wanawake]], [[wanaume]], [[watoto]] na hata vichanga vilivyokuwa matumboni. Mwaka [[1981]] pia Mugabe aliendelea kuua Wandebele, tukio ambalo halikutangazwa sana na [[vyombo vya habari]]. Kuanzia enzi hizo rais Mugabe amejaribu kushinda kila uchaguzi nchini huko kwa kutumia nguvu za kikabila na mabavu.
 
Ingawa [[Mauaji ya kimbari|mauaji]] hayo hayakufikia kiwango cha yale ya [[Rwanda]] na [[Burundi]], waliuawa [[wanawake]], [[wanaume]], [[watoto]] na hata vichanga vilivyokuwa matumboni.
 
Kuanzia enzi hizo rais Mugabe amejaribu kushinda kila uchaguzi nchini huko kwa kutumia nguvu za kikabila na mabavu.
 
{{mbegu-mwanasiasa}}