Isidori wa Kio : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 13:07, 11 Septemba 2019
Isidori wa Kio (alifariki 251) alikuwa Mkristo kutoka Aleksandria, Misri, aliyeuawa katika kisiwa cha Krio (leo nchini Ugiriki) wakati wa dhuluma ya kaisari Decius wa Dola la Roma.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |