Mpaka : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:The border crossing into Togo from Benin (5488548755).jpg|thumb|[[Geti]]
[[Picha:Berlin wall mitte.jpg|thumb|Mpaka baina ya [[Berlin]] Mashariki na Berlin Magharibi hadi [[mwaka]] [[1990]].]]
[[Picha:OffeneGrenzeNiederndorf-Oberaudorf.jpg|thumb|Mpaka
'''Mpaka''' ni sehemu ambako [[kitu]] kinafikia mwisho wake. Mara nyingi [[neno]] hutumiwa kutaja mwisho wa eneo fulani, kama vile [[kiwanja]], [[shamba
Vieneo vya [[hisabati]] huwa pia na mpaka, kama vile [[Umbo|maumbo]] ya [[jiometri|kijiometria]] ([[mraba]], [[duara]]) au [[seti (hisabati)|seti]]. Vipindi vya wakati huwa na mpaka vilevile.
==Mpaka wa nchi==▼
Katika karne zilizopita eneo lote la Dunia (isipokuwa Antakriki) limegawiwa kwa nchi zinazotenganishwa kwa mipaka inayofafanuliwa. Hali hii haikuwa kawaida katika sehemu kubwa ya historia ya binadamu.▼
▲==Mpaka wa nchi==
Mipaka inaweza kufuata vizuizi asilia kama vile mito, safu za milima, jangwa au bahari. Katika nchi nyingi kuna tatizo kwamba mipaka ilipatanwa kisiasa bila kujali hali ya watu katika eneo fulani; hivyo jumuiya nyingi katika Afrika zimetenganishwa kwa mipaka iiyochorwa wakati wa ukoloni. Lakini tatizo hili linapatikana pia Ulaya, Asia na Amerika.▼
▲Katika [[karne]] zilizopita eneo lote la [[Dunia]] (isipokuwa
▲Mipaka inaweza kufuata vizuizi asilia kama vile [[mito]], [[safu za milima]], [[jangwa]] au [[bahari]]. Katika nchi nyingi kuna tatizo kwamba mipaka
Kwa mipaka mingi kuna mashariti fulani kama watu wanataka kuipita kama vile kuwa na [[pasipoti]] au kibali cha [[viza]].▼
▲Kwa mipaka mingi kuna
{{mbegu}}
[[jamii:Jiografia]]
[[jamii:siasa]]
|