Bahari ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Bahari ya Kaskazini.png|thumb|300px|Bahari ya Kaskazini.]]
[[Picha:DanishWindTurbines.jpg|thumb|320px|[[Umeme]] hutengenezwa baharini karibu na Denmark.]]
'''Bahari ya Kaskazini''' ni [[bahari ya pembeni]] ya [[Atlantiki]] kati ya [[Skandinavia]] ([[Norway]] na [[Denmark]]) upande wa [[mashariki]], [[Ujerumani]] na [[Uholanzi]] upande wa [[kusini]] na [[Britania]] kwa [[magharibi]].
 
Inaunganishwa na Atlantiki kwa njia ya [[Mfereji wa Kiingereza]] upande wa kusini na [[Bahari ya Norwei]] upande wa [[kaskazini]].
 
[[Mlango wa bahari]] ya [[Skagerak]] unaiunganisha na [[bahari ya Baltiki]]. [[Mfereji wa Kiel]] inafupishaunafupisha njia hii ukikata [[Majimbo ya Ujerumani|jimbo]] la [[Schleswig-Holstein]] ya Ujerumani. Kusini-magharibi kuna mlango wa Mfereji wa Kiingereza kati ya [[Britania]] na [[Ufaransa]].
 
[[Kimo]] cha [[wastani]] ni 94[[mita]] m94 pekee.
 
[[Mito]] mikubwa inayoingia katika Bahari ya Kaskazini ni pamoja na [[Rhine]], [[Elbe]], [[Weser]], [[Ems]], [[Meuse]], [[Schelde]], [[Thames]] na [[Humber]].
 
Mabandari[[Bandari]] makubwakubwa ni [[Rotterdam]], [[Hamburg]], [[Bremen]] na [[Antwerpen]]. Bahari ya Kaskazini ni kati ya bahari zinazopitiwa na [[meli]] nyingi [[duniani]]; zaidi ya [[robo]] ya [[usafiri]] wote wa baharini wa [[dunia]] unatokea hapo.
 
Katika sehemu za kaskazini kuna gesi na mafuta.
 
Katika sehemu za kaskazini kuna [[gesi]] na [[mafuta]].
{{mbegu-jio-ulaya}}
[[Jamii:Atlantiki]]
[[Jamii:Bahari ya pembeni]]