Ian Donald : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Ian Donald CBE FRFPSGlas FRCOG FRCP''' (27 Desemba 1910 huko Liskeard - 19 Juni 1987) alikuwa daktari wa Uingereza na alikuwa mashuhuri s...'
 
No edit summary
Mstari 1:
'''Ian Donald CBE FRFPSGlas FRCOG FRCP''' ([[27 Desemba]] [[1910]] huko [[Liskeard]] - [[19 Juni]] [[1987]]) alikuwa daktari wa Uingereza na alikuwa mashuhuri sana kwa kuanzisha kipimo cha ''Ultrasound'' katika njia za [[uzazi]]. Donald alikuwa Profesa wa Regius wa [[Mimba]] na [[Uzazi]] katika [[Chuo Kikuu]] cha [[Glasgow]]. Kazi ya Donald ilikuwa na safu ya ushirikiano wa ajabu kati ya wauguzi na wahandisi ambao walielekeza nguvu nyingi katika kujenga vyombo vya kuwezesha uchunguzi wa mtoto ambaye hajazaliwa ambayo mwishowe ilimwezesha kujenga mashine ya ''ultrasound'' ya kwanza ulimwenguni.
 
 
{{mbegu-mtu}}