Chavulio : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 14:01, 15 Septemba 2019
Chavulio ni sehemu ya stameni, ambayo ni sehemu ya kiume ya ua.Sehemu hii ya ua hubeba mbelewele ambazo katika uzazi wa ua huungana na chembekike za ua ili kuunda mbegu za mmea husika. Sehemu hii hushikiliwa na filamenti ambayo imejishikiza katika mrija wa stameni.