Ghuba ya Biskaya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa umeelekezwa kwenda Ghuba ya Biskaya Tag: New redirect |
Removed redirect to Ghuba ya Biskaya Tag: Removed redirect |
||
Mstari 1:
'''Ghuba ya Biskaya''' (ing. ''Bay of Biscay'') ni [[ghuba]] kubwa ya [[Atlantiki]] ya kaskazini-magharibi inayopakana na [[Ufaransa]] na [[Hispania]]. Jina latokana na nchi ya [[Wabaski]] wanaoishi pande zote mbili za mpaka wa nchi hizi mbili.
Ghuba ya Biskaya inajulikana kwa [[dhoruba]] kali na mawimbi makubwa yaliyosababisha ajali nyingi za meli. Siku hizi usalama umeborshwa kwa msaada wa teknolojia ya kisasa.
[[Jamii:Atlantiki]]
|