Boksiti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d corr using AWB |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[File:140606 Les-Baux-12.jpg|thumb|Boksiti, Les Baux-de-Provence]]
'''
[[Jina]] la Bauxiti limetokana na [[kijiji]] cha "Les Baux de Provence" katika [[Ufaransa]] ambako mtapo umegunduliwa mara ya kwanza. Leo hii huchimbwa hasa katika [[Australia]], [[Brazil]], [[Guinea]], [[Jamaika]] na [[India]].
Bauxiti ni msingi wa alumini na mambo yote yanayotengenezwa nayo. Kama [[metali]] imara na nyepesi alumini hutumiwa hasa kwa [[Ndege (uanahewa)|ndege]] na vyombo vingine vya [[usafiri]] lakini pia kwa ajili ya makopo, masanduku n.k.
Matengenezo ya alumini kutokana na bauxiti huhitaji [[nishati]] nyingi hasa ya [[umeme]]. Kwa sababu hiyo [[viwanda]] vya alumini hujengwa karibu na vituo vya umeme na hii ni sababu ya kwamba nchi zenye bauxiti haziwezi kufaidika na viwanda vyenyewe kama hawana umeme wa kutosha.
{{mbegu-kemia}}
[[Jamii:Madini]]
|