Manchester United F.C. : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Masahihisho aliyefanya 197.250.225.81 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Flix11
Tag: Rollback
Holder (majadiliano | michango)
d corr using AWB
Mstari 524:
* Mkurugenzi wa Kibiashara: Richard Arnold
* Mkurugenzi mtendaji: Ed Woodward
* Wakurugenzi wasio watendaji: [[Bryan Glazer,]], Kevin Glazer, Edward Glazer & Darcie Glazer
 
'''Manchester United Football Club'''
Mstari 659:
Kufuatia uwekezaji kuimarisha klabu tena, jina lilibadilishwa na kuwa Manchester United, ingawa kulikuwa na hamu ya kupata uwanja uliokubalika. Wiki sita kabla ya mchuano wa kwanza wa United kuwania Kombe la FA Aprili 1909, Old Trafford ilitajwa kuwa nyumbani kwa Manchester United kufuatia ununuzi wa ardhi muhimu kwa takribani £ 60,000. Msanifumijengo Archibald Leitch aliajiriwa na mwenyekiti wa United John Henry Davies na kupewa bajeti ya £ 30.000 kwa ajili ya ujenzi. Mipango asilia ilionyesha kuwa uwanja ungefaa kujengwa kuhimili watu 100.000, ingawa idadi hiyo ilipunguzwa hadi 77,000. Licha ya hilo, rekodi ya mahudhurio ya 76,962 ilirekodiwa, ambayo hata sasa ni zaidi ya idadi rasmi inayokubalika katika uwanja huo. Ujenzi ulifanywa na Messrs Brameld na Smith wa Manchester. Katika ufunguzi wa uwanja, tiketi za kusimama ziligharimu peni sita, wakati viti ghali zaidi katika jukwaa kuu zililipiwa shilingi tano. Mchezo wa ufunguzi ulikuwa tarehe 19 Februari 1910 dhidi ya Liverpool FC, na wageni wakashinda kwa 4-3. Kama ilivyotokea, mabadiliko ya uwanja yalitokea wakati mwafaka zaidi - siku chache tu baada ya klabu kucheza mchuano wao wa mwisho ugani Bank Street, mojawapo ya jukwaa liliangushwa chini na dhoruba.<ref>{{Cite book |last=Murphy |first=Alex |title=The Official Illustrated History of Manchester United |year=2006 |publisher=Orion Books |location=London |isbn=0-7528-7603-1 |page=27 |chapter=1878-1915: From Newton Heath to Old Trafford }}</ref>
 
Kupigwa kwa bomu wakati wa [[Vita vya Pili vya Dunia,]], tarehe 11 Machi 1941, kuliharibu sehemu kubwa ya uwanja, hasa jukwaa kuu. Handaki la kati katika South Stand ndilo la pekee lililobakia katika robo hiyo ya uwanja. Baada ya vita, United iliwasilisha ripoti kwa Tume ya Madhara ya Vita na kupokea fidia ya £ 22.278 kwa ajili ya ukarabati wa uwanja huo. Ingawa uwanja ulijengwa upya tena 1949, hakuna mchuano uliosakatwa Old Trafford kwa takribani miaka 10 michuano ya "nyumbani" katika kipindi hicho ilichezwa katika uwanja wa Manchester City, Maine Road. Manchester City iliilipisha United £ 5,000 kwa mwaka kwa matumizi ya uwanja wao, pamoja na asilimia fulani ya ada ya kiingilio.<ref>{{Cite book |last=White |first=John |title=The United Miscellany |origyear=2005 |edition=2nd |year=2007 |publisher=Carlton Books |location=London |isbn=978-1-84442-745-1 |page=11 }}</ref>
 
Marekebisho mengine yalitokea baadaye, yakianza na kuwekwa paa upande wa Stretford End kisha ikawekwa pande za North Stand na East Stand. Hata hivyo, mtindo wa zamani wa paa uliwazuia mashabiki wengi kutazama na hivyo, kupelekea kuboreshwa kwa paa hizo kuwa zilizoinuka na ambazo bado zipo katika uwanja huo leo. Stretford End lilikuwa jukwaa la mwisho kufanyiwa ukarabati wa kuinuliwa paa, kazi iliyokamilika kwa muda ufaao kuruhusu michuano ya msimu wa [[1993-94.]]<ref name="expansion">{{Cite web |url=http://www.manutdzone.com/oldtrafford/oldtrafford.htm |title=Old Trafford 1909-2006 |accessdate=21 Mei 2007 |publisher=ManUtdZone.com }}</ref>
Mstari 665:
Taa za uwanjani ziliwekwa kwa mara ya kwanza uwanjani katikati ya miaka ya 1950. Viunzi{{Convert|180|ft|m|sing=on}} vinne vikuu vilijengwa, kila kimoja kikiwa na taa 54. Mfumo mzima wa taa uliigharima klabu £ 40,000, na kutumika mara ya kwanza katika mechi ya tarehe 25 Machi 1957. Hata hivyo, taa mtindo zamani zilibomolewa mwaka wa 1987, na kubadilishwa na taa za kisasa zilizowekwa katika paa la kila jukwaa, zinadumu hadi leo.
 
Mwaka 1990, kufuatia janga la [[Hillsborough Disaster,]], ripoti ilitolewa iliyotaka viwanja vyote kukarabatiwa ili kuruhusu mashabiki [[wanaoketi pekee]], hilo lilipelekea ukarabati ulioshusha idadi ya mashabiki wanaoruhusiwa hadi takribani 44,000. Hata hivyo, umaarufu wa klabu ulimaanisha kuwa maendeleo zaidi yangetokea. Mwaka 1995, North Stand ilijengwa kuwa na daraka tatu na kuongeza idadi inayoruhusiwa hadi takribani 55,000. Hii ilifuatiwa na upanuzi kwanza wa jukwaa la East na kisha West kufikisha jumla ya idadi ya 68,000. Upanuzi wa hivi karibuni zaidi ulikamilika mwaka 2006, ambapo robo iliyopo North-East na North West ilifunguliwa, na kufikisha rekodi ya idadi ya sasa ya 76,098, 104 tu chini ya upeo wa idadi inayoruhusiwa.<ref name="expansion"/>
 
Imekadiriwa kwamba kwa maendeleo zaidi kufanyiwa uwanja, hasa Southern Stand ambayo ndio hadi sasa ina daraka moja tu, gharama ya uboreshaji inaweza kukaribia £ million 114 ambazo tayari zimetumika kuboresha uwanja huo katika miaka kumi na minne iliyopita. Hii ni kutokana na ukweli kwamba ingebidi takriban nyumba hamsini kununuliwa na klabu, hilo huenda likaongeza usumbufu kwa wakazi wa mtaa huo,na upanuzi wowote ungelazimika kujengwa juu ya laini ya reli inayopita karibu na uwanja huo. Kwa kweli , upanuzi huo utajumuisha kuifanya South Stand kuwa na angalau daraka mbili na kujaza jukwaa za South-West na South-East kuhifadhi umbo la "bakuli" la uwanja huo. Makadirio ya sasa yanaashiria kuwa uwanja huo ukijengwa hivyo utakuwa na uwezo wa kuhimili takriban mashabiki 96,000, zaidi wa uwanja mpya wa Wembley.<ref name="expansion"/>
Mstari 672:
[[AIG]] ndio [[wadhamini]] wakuu wa Manchester United, na kama sehemu ya mpango huo wa udhamini nembo yao imebandikwa mbele ya mashati ya klabu na bidhaa nyingi nyinginezo za klabu. Udhamini wa AIG ulitangazwa na afisa mtendaji wa Manchester United David Gill tarehe 6 Aprili 2006, ina thamani ya £ milioni 56.5 rekodi ya aina yake nchini Uingereza na ya kulipwa kwa takribani miaka minne (£ milioni 14.1 kila mwaka).<ref>{{Cite news |title=Man Utd sign £56m AIG shirt deal |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/4882640.stm |work=BBC News |publisher=British Broadcasting Corporation |date=6 Aprili 2006 |accessdate=28 Mei 2007 }}</ref> Udhamini huo ulikuwa wenye thamani zaidi dunia mwezi Septemba 2006 baada ya kubatilishwa kwa udhamini wa £ milioni 15 kila mwaka kati ya [[Juventus]] na kampuni ya mafuta ya [[Tamoil]].<ref>{{Cite web |url=http://www.sportbusiness.com/news/160395/oilinvest-to-renegotiate-juventus-sponsorship |title=Oilinvest to renegotiate Juventus sponsorship |accessdate=28 Mei 2007 |date=7 Septemba 2006 |publisher=SportBusiness.com }}</ref> Tarehe 21 Januari 2009, ilitangaza kuwa AIG haitafanya upya udhamini wao wa klabu ifikapo mwisho wa udhamini wa sasa Mei 2010. Hata hivyo, si wazi ikiwa mkataba wa AIG kusimamia MU Finance utaendelea.<ref>{{Cite news |title=AIG ends Man Utd sponsorship deal |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/7841748.stm |work=BBC News |publisher=British Broadcasting Corporation |date=21 Januari 2009 |accessdate=21 Januari 2009 }}</ref> Kampuni ya bima ya marekani [[Aon]] ilitajwa kama mdhamini mkuu wa klabu tarehe 3 Juni 2009, huku udhamini wao kwa klabu ukianza kutekelezwa mwanzo wa [[msimu wa 2010-11.]]<ref>{{Cite news |author=Communications Dept |title=Future shirt sponsor unveiled |url=http://www.manutd.com/default.sps?pagegid={48C41513-A376-4D1F-981D-660FC5BB193E}&newsid=6633776 |work=ManUtd.com |publisher=Manchester United |date=3 Juni 2009 |accessdate=3 Juni 2009 }}</ref> Masharti ya mpango huo hawakufichuliwa, lakini imeripotiwa kuwa una thamani ya takriban £ million 80 kwa takriban miaka minne, ambayo itaifanya kuwa mdhamini mkuu zaidi katika historia ya kandanda.<ref>{{Cite news |title=Man Utd in new shirt sponsor deal |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/8081787.stm |work=BBC News |publisher=British Broadcasting Corporation |date=3 Juni 2009 |accessdate=3 Juni 2009 }}</ref>
 
Klabu kimekuwa na wadhamini wakuu watatu tu wa shati. Wa kwanza na waliohudumu kwa muda mrefu zaidi walikuwa [[Sharp Electronics,]], ambao walifadhili klabu kuanzia 1982 hadi 2000, ilikuwa moja ya udhamini wa faida kubwa na wa muda mrefu katika [[Soka ya Uingereza.]]<ref name="vodafone">{{Cite news |title=Vodafone in £30m Man Utd tie-up |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/639243.stm |work=BBC News |publisher=British Broadcasting Corporation |date=11 Februari 2000 |accessdate=8 Aprili 2008 }}</ref><ref name="new_sponsor">{{Cite news |title=United must find new shirt sponsor |url=http://edition.cnn.com/2005/SPORT/football/11/23/united.sponsor/ |publisher=CNN.com International |date=24 Novemba 2005 |accessdate=8 Aprili 2008 }}</ref> Nembo ya Sharp ilikuwa mbele ya shati za United katika miaka hiyo 17, wakati ambao timu ilishinda mataji saba ya [[Ligi Kuu]], tano za [[Kombe la FA]], moja la [[Football League,]], moja la [[Washindi wa makombe ya Ulaya]] na moja la [[Kombe la Ulaya.]] Vodafone ilichukua udhamini kwa mkataba wa awali wa miaka minne wa £ million 30 tarehe 11 Februari 2000, udhamini ulianza mwanzo wa msimu wa 2000-01.<ref name="vodafone"/><ref name="new_sponsor"/> Mnamo Desemba 2003, udhamini ulirefushwa kwa miaka minne na Vodafone ikakubaliana kulipa £ million 36 zaidi kwa miaka minne ya 2004-2008.<ref>{{Cite news |title=Man Utd rings up £36m shirt deal |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/3252120.stm |work=BBC News |publisher=British Broadcasting Corporation |date=1 Desemba 2003 |accessdate=21 Januari 2009 }}</ref> Hata hivyo, tarehe 23 Novemba 2005, Vodafone ilitangaza kuwa itakomesha udhamini wake Mei 2006 ili kuangazia zaidi udhamini wao wa [[UEFA Champions League.]]<ref>{{Cite news |title=Vodafone ends Man Utd shirt deal |url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/business/4463534.stm |work=BBC News |publisher=British Broadcasting Corporation |date=23 Novemba 2005 |accessdate=21 Januari 2009 }}</ref>
 
Vivyo hivyo, klabu imekuwa na washonaji huru nne tu wa sare yake, wa kwanza walikuwa kampuni ya Uingereza [[UMBRO]]. [[Admiral]] ilichukua usukani mwaka 1975, na kuwa kampuni ya kwanza ya kuweka nembo yao kwenye shati la Manchester United mwaka wa 1976.<ref>{{Cite web |url=http://www.prideofmanchester.com/sport/mufc-kits4.htm |title=Manchester United Shirts 1970-79 |accessdate=13 Agosti 2008 |publisher=Pride Of Manchester }}</ref> [[Adidas]] ilifuatiwa mwaka 1980,<ref>{{Cite web |url=http://www.prideofmanchester.com/sport/mufc-kits5.htm |title=Manchester United Shirts 1980-89 |accessdate=13 Agosti 2008 |publisher=Pride Of Manchester }}</ref> kabla Umbro kuanzaa kipindi chao cha pili kama watengenezaji wa sare za klabu hiyo mwaka wa 1992.<ref>{{Cite web |url=http://www.prideofmanchester.com/sport/mufc-kits6.htm |title=Manchester United Shirts 1990-99 |accessdate=13 Agosti 2008 |publisher=Pride Of Manchester }}</ref> Udhamini wa Umbro ulidumu kwa miaka kumi zaidi kabla ya klabu kupata udhamini wa kuvunja rekodi - £ million 302.9 kutoka kwa Nike. Makubaliano na Nike yatadumu kwa miaka 13 ya awali, na kuendelea hadi angalau mwaka wa 2015.<ref>{{Cite web |url=http://www.manutdzone.com/atoz/n.html#Nike |title=A to Z of Manchester United&nbsp;— N |accessdate=22 Mei 2007 |publisher=ManUtdZone.com }}</ref>
Mstari 726:
Hasa mashindano mafupi kama vile [[Charity / Community Shield, Kombe la mabara, Kombe la FIFA la klabu za Dunia]] au [[Super Cup]] hazifikiriwi kwa jumla kuchangia Ushindi mara mbili au tatu.
 
Taji kuu la peke ambalo Manchester United haijashinda kamwe ni [[Kombe la UEFA,]],<ref>{{Cite web |url=http://www.manutd.com/default.sps?pagegid={EE4D6083-FCB8-4FAB-A765-75E2B0F4B4E0} |title=Trophy Room |accessdate=4 Januari 2009 |year=2009 |work=ManUtd.com |publisher=Manchester United }}</ref> ingawa walifika robo-fainali mwaka 1984-85 na nusu fainali ya mashindano tangulizi ya michuano hiyo [[Inter-Cities Fairs Cup,]], mwaka wa 1964-65.<ref>{{Cite web |url=http://www.uefa.com/competitions/uefacup/history/season=1984/round=1124/index.html |title=UEFA Cup&nbsp;— Season 1984-1985 - Quarter-finals |accessdate=15 Februari 2009 |work=uefa.com |publisher=Union of European Football Associations }}</ref><ref>{{Cite web |url=http://www.rsssf.com/ec/ec196465det.html#fc |title=Fairs' Cup 1964-65 |accessdate=15 Februari 2009 |last=Zea |first=Antonio |coauthors=Haisma, Marcel |date=9 Januari 2008 |work=rsssf.com |publisher=Rec.Sport.Soccer Statistics Foundation }}</ref>
 
==Tazama pia==