Utalii nchini Kenya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d corr using AWB |
|||
Mstari 74:
Hifadhi ya taifa ya Nairobi ilikuwa mbuga ya kwanza nchini Kenya ilipoanzishwa mwaka wa [[1946]]. Iko takriban [[kilomita]] 7 kusini mwa katikati ya [[Nairobi]], [[mji mkuu]] wa Kenya, na ni ndogo ikilinganishwa na mbuga nyingine za wanyama barani Afrika. Majumba marefu jijini Nairobi yaweza kuonekana kutoka kwenye mbuga.
Mbuga hii ina wanyamapori wengi tofauti.<ref name="Riley">[[Riley 2005
Kwamba mbuga hii ipo karibu na jiji la Nairobi husababisha mgogoro baina ya wanyama na wananchi na pia hutishia uhamaji wa wanyama.
|