Kiraitu Murungi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Holder (majadiliano | michango)
d corr using AWB
Mstari 14:
 
==Kashfa ya "Anglo Leasing"==
Yeye ni mmoja wa washirika wa karibu wa Rais wa Kenya [[Mwai Kibaki.]] Amekuwa akishutuhumiwa kwa majaribio ya kufunika katika [[kashfa ya "Anglo Leasing" ,]], ambayo yeye alidai kuwa ni kashfa ambayo haikuwahi kuwa".<ref>{{cite news|title=The Big Question: Can the President Shake Off Men in the Eye of a Storm?|publisher=[[The Daily Nation]]|date=[[29 Januari]] 2006|url=http://allafrica.com/stories/200601300340.html|accessdate=2006-02-13}}</ref>
 
Katika mwaka wa 2006, 8 Februari[[Shirika la Utangazaji la BBC]] ilitoa mazungumzo kati ya Mweshimiwa Murungi na Katibu wa zamani wa Utawala Bora na Maadili[[Bw.John Githongo]] ambapo inaonekana kuwa anajaribu kumwambia Bw. Githongo kuachana na uchunguzi wake juu ya kashfa ya "Anglo Leasing". Yeye aliahidi kwamba [[Anura Pereira]] atasamehe madeni ya KES milioni 30 ambazo zilikuwa zinadaiwa babake Githongo.<ref>{{cite news|title='Taped evidence' in Kenya scandal|date=9 Februari 2006|publisher=BBC News|url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/4695354.stm|accessdate=2006-02-10}}</ref>
Mstari 25:
 
==Kamati ya Uchunguzi ya Hesabu Ya Bunge==
Tarehe 10 Februari 2006, Murungi alitoa taarifa ambayo ilichapishwa na kutumwa kwa vyombo vyote vya habari nchini Kenya ikihoji nia na madhumuni ya [[John Githongo,]], katika maswali thelathini na sita. Kati ya maswali ambayo aliuliza ni kwa nini [[John Githongo]] alikuwa ananasa mazungumzo yake na maafisa wa Serikali na kama alikuwa mpelelezi wa mataifa ya kigeni.<ref>{{cite news|title=Minister Kiraitu’s 36 questions to Githongo|url=http://www.eastandard.net/hm_news/news_s.php?articleid=36298|date=[[10 Februari]] 2006|publisher=Standard, Kenya|accessdate=2006-02-13}}</ref>
 
==Angalia Pia==