Geoffrey William Griffin : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q5534978 (translate me) |
d corr using AWB |
||
Mstari 1:
'''Dkt Geoffrey William Griffin''' (alizaliwa Eldoret 15 Juni 1933 - 28 Juni 2005) alikuwa mkurugenzi mwanzilishi wa [[Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe]]. Alianzisha shule hii mwezi Novemba 1959 kwa msaada wa marehemu [[Geoffrey Geturo]] na [[Joseph Gikubu
Starehe hutoa elimu ya hali ya juu bila malipo kwa mayatima na watoto wengi maskini wa Afrika (kwa mfumo unaofanana na [[Christ's Hospital]]). Wanfunzi wengi wa zamani sasa ni watu maarufu nchini Kenya na ulimwenguni. (Waziri mstaafu [[Raphael Tuju]]; [[Paul Ereng]], mshindi wa medali ya dhahabu ya Olimpiki; Dk [[Amrose Misore]], Naibu Mkuu wa Mkurugenzi wa Huduma ya Afya; na [[Prof George Magoha]], Daktari wa upasuaji na Mwanaurolojia ambaye ni Makamu wa Chansela wa sasa wa [[Chuo Kikuu cha Nairobi]] ni wachache tu ya Wanastarehe wa zamani).
|