Kiraitu Murungi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d corr using AWB |
d corr using AWB |
||
Mstari 9:
==Wasifu wa kisiasa==
Murungi amekuwa Mbunge tangu mwaka wa 1992 na hapo awali aliwahi kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na Mwanasheria Mkuu(wakilishi). Katika [[Uchaguzi Mkuu wa mwaka wa 2002 nchini Kenya]]alishinda [[Kiti cha mbunge Imenti Kusini kutoka chama cha "National Rainbow Coalition"|Kiti cha mbunge Imenti Kusini kutoka chama cha [["National Rainbow Coalition"]]]] (NARC)
Katika mwaka wa 2005 Februari, Murungi aliomba msamaha kwa kutoa matamshi ambayo yaliyokaguliwa kuwa yanaeneza[[ubakaji]] na rushwa. Yeye alikuwa amesema kuwa ukaguzi kutoka kwa wahisani wa misaada ya rushwa nchini Kenya ilikuwa "ni kama kubaka mwanamke ambaye ako tayari" <ref>{{cite news|title=Kenyan apology over rape remark|date=11 Februari 2005|publisher=BBC News|url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/4254343.stm|accessdate=2006-02-13}}</ref>
Mstari 18:
Katika mwaka wa 2006, 8 Februari[[Shirika la Utangazaji la BBC]] ilitoa mazungumzo kati ya Mweshimiwa Murungi na Katibu wa zamani wa Utawala Bora na Maadili[[Bw.John Githongo]] ambapo inaonekana kuwa anajaribu kumwambia Bw. Githongo kuachana na uchunguzi wake juu ya kashfa ya "Anglo Leasing". Yeye aliahidi kwamba [[Anura Pereira]] atasamehe madeni ya KES milioni 30 ambazo zilikuwa zinadaiwa babake Githongo.<ref>{{cite news|title='Taped evidence' in Kenya scandal|date=9 Februari 2006|publisher=BBC News|url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/4695354.stm|accessdate=2006-02-10}}</ref>
Murungi awali alisisitiza kuwa kamwe hakutaka kujiuzulu kutoka kiti chake cha Waziri licha ya madai ya rushwa.<ref>{{cite news|title=Kenyan minister 'not resigning'|date=10 Februari 2006|publisher=BBC News|url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/4701048.stm|accessdate=2006-02-10}}</ref> Yeye alidai kwamba hana hatia na kuwa ripoti ya Githongo ni propaganda tu. Juu ya kurekodi, yeye alitoa maoni ya kuwa: "Nimeyasikiliza madai ya kanda ya ushahidi
<ref>{{cite news|title=Kiraitu: 'BBC Tape Not Credible'|date=10 Februari 2006|publisher=[[Daily Nation]]|url=http://allafrica.com/stories/200602100373.html|accessdate=2006-02-10}}</ref> Tarehe 13 Februari 2006, hata hivyo, Rais [[Mwai Kibaki]] alitangaza kuwa Murungi amejiuzulu kuruhusu uchunguzi kamili juu ya hayo madai <ref>{{cite news|title=Kenyan 'graft' ministers resign|date=[[13 Februari]] 2006|publisher=BBC News|url=http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/4710138.stm|accessdate=2006-02-13}}</ref>
Tarehe 14 Februari 2006, siku baada yake kujiuzulu, Murungi alidai kuwa yeye hakuhusika kwa kufunika [[kashfa ya Anglo Leasing.]] Yeye alilaumu shida zilizomo kisiasa katika chama cha[[National Rainbow Coalition]] (NARC) na vyombo vya habari. Hata hivyo, baadaye iliibuka kwamba Rais [[Mwai Kibaki]] alimuuliza ajiuzulu kutoka kwa Serikali.<ref>{{cite news|title= Kibaki asked Kiraitu and Saitoti to quit|date=13 Februari 2006|publisher=[[Daily Nation]]|url=http://www.nationmedia.com/dailynation/nmgcontententry.asp?category_id=2&newsid=67252|accessdate=2006-02-16}}</ref>
|