Ajali ya Helikopta ya Polisi 2012, Kenya : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 3 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q2822709 (translate me) |
d corr using AWB |
||
Mstari 9:
==Mpango wa safari==
Helikopta ilikuwa katika safari kutoka Nairobi hadi kijiji cha Ratang'a katika eneo la mbunge la [[Ndhiwa]], Wilaya ya [[Homa Bay]]. Mawaziri wawili walikuwa wameabiri - Waziri wa mambo ya Ndani na Usalama George Saitoti, ambaye alikuwa ametangaza nia yake ya kugombea urais nchini [[Kenya]], na Naibu wake [[Joshua Orwa Ojode]] - walikuwa wamepanga kuhudhuria mchango wa fedha katika Kanisa Katoliki la Nyarongi
[[jamii:Historia ya Kenya]]
|