Hakim Ziyech : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d corr using AWB |
||
Mstari 4:
Mnamo 2019, alichaguliwa kama mmoja wa wachezaji bora 20 katika [[Ligi ya Mabingwa wa Ulaya]] (UEFA) kwa msimu wa 2018-19. Anajulikana kwa kufunga kwake, kukimbiza mpira, kupiga pasi ndefu, na kupiga faulo nzuri.
Ziyech alianza kazi yake ya kitaaluma katika klabu ya [[Uholanzi]] [[Heerenveen]] mwaka [[2012]]
Ziyech alistahili kuchezea timu ya taifa ya Uholanzi au Moroko. Mwaka [[2015]], alithibitisha kuwa ataiwakilisha Morocco katika ngazi ya kimataifa. Alichaguliwa katika kikosi cha wanaume 23 katika [[Kombe la Dunia]] la [[2018]], Pia ameiwakilisha nchi yake katika [[Afcon 2019]].
|