Cristiano Ronaldo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 4:
Mara nyingi huchukuliwa kuwa mchezaji bora [[duniani]] na kuonekana kuwa mmojawapo kati ya wachezaji wazuri wa nyakati zote. Ronaldo ana [[tuzo]] tano za FIFA Ballon d'Or, ambayo ni zaidi ya mchezaji yeyote wa bara [[Ulaya]], na ni mchezaji wa kwanza katika [[historia]] kushinda mara nne [[viatu vya dhahabu]].
Ameshinda tuzo 27 katika [[kazi]] yake, ikiwa ni pamoja na mataji matano ya [[ligi kuu]],
Ronaldo atastaafu na kumbukumbu za mabao mengi
== Maisha ==
|