Urundi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Holder (majadiliano | michango)
d corr using AWB
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Urundi ramani.jpg|350px|thumb|Jina la "Urundi" kwenye ramani ya kikoloni (1929)]]
'''Urundi''' (kwa [[tahajia]] ya [[Kifaransa]] pia '''Ouroundi''') ni [[jina]] la [[Historia|kihistoria]] kwa nchi ya [[Burundi]]. [[Wajerumani]] waliita nchi "Urundi" walipoanza kueneza [[utawala]] wao juu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]].
 
'''Urundi''' (kwa tahajia ya Kifaransa pia '''Ouroundi''') ni jina la kihistoria kwa nchi ya [[Burundi]]. Wajerumani waliita nchi "Urundi" walipoanza kueneza utawala wao juu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] wakaitawala kwa njia ya. Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] eneo hili lilivamiwa na [[jeshi]] la [[Ubelgiji]] kutoka [[koloni]] yala [[Kongo ya Kibelgiji]] na kuwa [[eneo la kudhaminiwa]] chini ya Ubelgiji baadaye. WabalgijiWabelgiji wakaitawala pamoja na [[Rwanda]] kwa jina la "Ruanda-Urundi" hadi [[uhuru]] kwenye [[mwaka]] [[1962]] na tangu wakati ule nchi inaitwa rasmi "Burundi".
 
Inaonekana ya kwamba Wajerumani walipoanza kutumia [[umbo]] la "Urundi" walifuata kawaida ya [[lugha]] ya [[Kiswahili]] badala ya jina la wenyewe ambakoambapo [[silabi]] kwa mahali ni "Bu-" si "U-" jinsi ilivyo kwa Kiswahili.
 
[[Jamii:Historia ya Burundi]]
[[Jamii:Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]]