Maji matamu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4:
Kwa kawaida maji ya [[mvua]], ya [[mto]]ni au [[ziwa]]ni huitwa "maji matamu" maana yake ya kwamba kimsingi inafaa kwa kunywa au kumwagilia [[mmea|mimea]] hata kama mara nyingi inaweza kupatikana na matope au machafuko ndani yake. Kinyume chake ni [[maji ya chumvi]] jinsi inavyopatikana baharini au katika maziwa kadhaa.
 
Kitaalamu maji huitwa "matamu" kama kiwango cha chumvi ndani yake ni chini ya [[asilimia]] 0.1 au [[gramu]] moja1 ya chumvi katika lita ya maji. Kama kiwango cha chumvi kinazidi haifaigramu tena1/L kwakupanda matumizihadi yagramu kibinadamu pia haifai kwa mimea mengi. Kama2/L maji matamuhayafai yanatena kiasikwa kikubwamatumizi cha bakteriaya kibinadamu<ref>[https://www.sahealth.sa.gov.au/wps/wcm/connect/public+content/sa+health+internet/protecting+public+health/water+quality/salinity+and+drinking+water machafukoSalinity ndaniand yakedrinking haifaiwater kwa], matumizitovuti ya kibinadamuserikali mojaya kwaAustralia mojaKusini, lakiniiliangaliwa inaezaOktoba kusafishwa2019</ref>. kwa njia ya [[filta]].
 
Chumvi ikizidi maji pia hayafai kwa mimea mengi. Kama maji matamu yana kiasi kikubwa cha bakteria au machafuko ndani yake hayafai kwa matumizi ya kibinadamu moja kwa moja lakini inawezekana kusafishwa kwa njia ya [[filta]].
 
Sehemu kubwa ya maji matamu yanayopatikana [[dunia]]ni ni [[theluji]] na [[barafu]] ambayo ni hasa [[mvua]] iliyowahi kuganda katika hali ya hewa baridi.