Bahari ya Adria : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 5:
Nchi zinazopakana nayo ni [[Italia]] upande wa magharibi, halafu [[Slovenia]], [[Kroatia]], [[Bosnia na Herzegovina]], [[Montenegro]] na [[Albania]] upande wa [[mashariki]].
 
Adria huelekea [[kaskazini]] [[magharibi]] kutoka 40°N hadi 45° 45' N. [[Urefu]] wake ni [[km]] 770 na upana waka kwa [[wastani]] ni km 160. Sehemu nyembamba ni [[mlangobahari wa OrrantoOtranto]] wenye [[upana]] wa km 85. EenoEneo lake ni mnamo [[km²]] 160,000.
 
[[Mwambao]] wa kaskazini una [[visiwa]] zaidi ya 1,300, hasa mbele ya [[pwani]] ya Kroatia.