Bahari ya Kaspi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Caspian Sea from orbit.jpg|thumb|CaspianBahari Seaya Kaspi kutoka [[Anga|angani]].]]
[[Picha:Surikov1906.jpg|thumb|Stenka Razin (Vasily Surikov)]]
'''Bahari ya Kaspi''' (pia: '''Bahari ya Qazwin'''-; kwa [[Kiajemi]]: دريا خزر ''"darya khazar"''; kwa [[Kirusi]]: Каспийское море ''"kaspiiskoye more"'') ni [[ziwa]] kubwa kabisa [[duniani]] lenye enoeneo la 371,000 [[km²]] 371,000 na [[mjao]] wa km³ 78,200 km³. Liko kati ya [[Azerbaijan]], [[Urusi]], [[Kazakhstan]], [[Turkmenistan]] na [[Uajemi]].
 
[[Kimo]] chake mkubwakinafikia ni[[mita]] 1,025 m.
 
Huitwa "[[bahari]]" kwa sababu [[maji]] yake ni ya [[chumvi]] ingawa si kali sana kama ya bahari yenyewe.
 
== Maji ya chumvi ==
Upande wa [[kaskazini]] inaingia [[mito]] miwili mikubwa ya [[Volga (mto)|Volga]] na [[Ural (mto)|Ural]]. Inasababisha kiasi kidogo cha chumvi upande huo wa kaskazini. [[Asilimia]] ya chumvi huonegezeka kuelekea kusini.
 
== Madini ==
Chini ya bahari kuna akiba kubwa za [[mafuta ya petroli]] na [[gesi]], hasa karibu na [[Baku]]. Katika [[hori ya Kara-Bogas]] chumvi hulimwa.
 
== Viungo vya Nje ==
Line 22 ⟶ 23:
[[Jamii:Bahari]]
[[Jamii:Maziwa ya Asia]]
[[Jamii:jiografia ya UajemiIran]]
[[Jamii:jiografia ya Kazakhstan]]
[[Jamii:jiografia ya Azerbaijan]]