Bahari ya Weddell : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Created by translating the page "Weddell Sea" |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:
'''Bahari ya Weddell''' ni sehemu ya [[Bahari ya Kusini]] iliyopo katika hori kubwa baina ya Rasi Antaktiki na Nchi ya Coats. Sehemu kubwa ya eneo lake ni barafu ya kudmu. [[Argentina]] (nchi iliyo karibu zaidi), Chile na [[Ufalme wa Muungano|Ufalme wa Maungano]] wanashindani kuhusu usimamizi juu ya sehemu hii. Upana kwenye mdomo wa hori ni karibu km 2,000, eneo hilo ni karibu kilomita za mraba milioni 2.8. Kina chake ni baina ya mita 500 hadi 5,000.
[[Picha:NASA's_DC-8_Flying_Over_the_Weddell_Sea.jpg|left|thumb| Barafu
Bahari hiyo ilipewa jina la nahodha Mwingereza James Weddell aliyeingia baharini mnamo 1823.
Mstari 7:
== Tovuti za Nje ==
{{commons cat
|