Julius Nyerere : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Pamoja na marekebisho mengine madogo madogo, nimetoa sentensi "Kwa hakika aliiathiri kuliko yeyote yule" maana haileti maana halisi kwa wasomaji |
No edit summary |
||
Mstari 61:
{{History of Tanzania}}
'''Mwalimu Julius Kambarage Nyerere''' (alizaliwa [[Butiama]] [[Mkoa wa Mara|mkoani Mara]], pembezoni mwa [[Ziwa Nyanza]] [[13 Aprili]] [[1922]] - alifia [[London]], [[Uingereza]], [[14 Oktoba]] [[1999]]) alikuwa [[rais]] wa kwanza wa [[Tanzania]], na mara nyingi anatajwa kama "Baba wa Taifa".
Ndiye mwasisi wa [[itikadi]] ya [[ujamaa]] na
Kabla ya kuingia kwenye [[siasa]] alikuwa ni [[mwalimu]]. [[Kazi]] hiyo ndiyo iliyompatia jina ambalo lilimkaa maisha yake yote la "Mwalimu."
|