Julius Nyerere : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 60:
}}
{{History of Tanzania}}
'''Mwalimu Julius Kambarage Nyerere''' (
Ndiye mwasisi wa [[itikadi]] ya [[ujamaa]] na kujitegemea iliyotangazwa hasa katika [[Azimio la Arusha]].
Line 71 ⟶ 72:
Alipostaafu urais mwaka [[1985]] alirudi [[Kijiji|kijijini]] kwake Butiama ambako aliendesha shughuli za [[kilimo]]. Hata hivyo aliendelea kuwa na athari kubwa katika siasa ya Tanzania hadi kifo chake.
Kwa ruhusa ya [[makao makuu]] ya [[Kanisa Katoliki]] duniani, [[Jimbo Katoliki la Musoma]] lilianza kushughulikia [[kesi]] ya kumtangaza [[mwenye heri]] na hatimaye [[mtakatifu]]. Kwa sababu hiyo anaitwa pia "[[mtumishi wa Mungu]]". Baada ya hapo [[Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania]] limepokea [[jukumu]] la kuratibu mchakato huo pamoja na
==Maisha yake==
Julius Kambarage Nyerere alizaliwa mwaka [[1922]] katika [[kijiji]] cha [[Butiama]], [[wilaya]] ya [[Musoma vijijini|Musoma]], [[mkoa wa Mara]], Tanzania (wakati ule: [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]]).
Alikuwa mmojawapo kati watoto 26 wa Nyerere Burito, [[chifu]] wa [[kabila]] la [[Wazanaki]].
|