Luangwa (mto) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1321671 (translate me)
No edit summary
Mstari 11:
}}
 
'''Mto Luangwa''' ni [[mto]] mkubwa wa [[Zambia]] ya [[mashariki]].
 
Kuna mto wa pili mdogo zaidi mwenyewenye jina hilihilo unaoishia katika [[Ziwa Kariba]].
 
==Mwendo==
Luangwa ina [[Chanzo (mto)|chanzo]] chake katika [[milima ya Mafinga]] karibu na mpaka wa [[Tanzania]] na [[Malawi]]. Kwa jumla huelekea [[kusini]] sambamba na mpaka wa Malawi. Unapita maeneo mapana ya hifadhi za taifa za Luangwa Kaskazini na Luambe hadi Luangwa Kusini.
 
Takriban [[kilomita]] 500 baada ya chanzo [[bonde]] la mto linakuwa nyembambajembamba lenye magenge makali kila upande. Kabla ya [[mdomo]] wake Luangwa ni mpaka kati ya Zambia na [[Msumbiji]].
 
Mto unaishia katika [[Zambezi]] kwenye [[mji]] wa [[Luangwa]].
 
==Mabadiliko makubwa ya kiwango cha maji==
Kiasi cha [[maji]] ndani ya mto hubadilika sana kufuatana na [[majira]]. Wakati wa [[ukame]] mto una maji kidogo na mahali pengi unapitika kwa [[miguu]]. Lakini kati ya [[Desemba]] hadi [[Machi]] wakati wa [[mvua]] katika [[milima]] ya chanzo chake na cha tawimito[[tawimto|matawimto]] kuna maji mengi. Kila mwaka mwendo wa mto unaweza kubadilika kiasi kutokana na nguvu ya maji. Hii ni sababu mojamojawapo ya kwamba hakuna [[watu]] wengi wanaokaa kando laya mto huu.
 
{{Mbegu-jio-Zambia}}
 
{{Mbegu-jio-ZambiaAfrika}}
[[Jamii:Mito ya Afrika]]
[[Category:Mito ya Zambia]]
[[Jamii:Mito ya Malawi]]
[[Jamii:Mito ya Msumbiji]]