Plato : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Head Platon Glyptothek Munich 548.jpg|thumb|right|[[Sanamu]] ya [[kichwa]] cha Plato.]]
'''Plato''' (kwa [[Kigiriki]]:
Alibuni mawazo mengi yenye maana hadi leo. Wanafalsafa wa kisasa wamesema ya kwamba [[falsafa]] yote inamtegemea Plato.
Aliandika mafundisho yake kwa [[umbo]] la [[majadiliano]] - yaani [[watu]] wawili au zaidi wanajadili mawazo wakikubaliana au kutokubaliana nayo. Kwa njia hiyo Plato alipenda kueleza fikra zake.
Mara nyingi Sokrates ni msemaji mkuu katika majadiliano ya Plato. Huonyeshwa akiwauliza watu juu ya yale wanayoyaamini akiendelea kuuliza maswali kama mawazo yao yanalingana na [[mantiki]]. Haieleweki ni kiasi gani Plato alitumia kweli mafundisho ya Sokrates mwenyewe au kama alimtumia zaidi
Kati ya [[maandiko]] muhimu zaidi ya Plato ni "Politeia" yaani "kuhusu dola".
== Dhana na vitu ==
Katika falsafa ya Plato kuna tofauti muhimu kati ya dhana na kitu. [[Dunia]] ya kweli ni dunia ya dhana.
{{mbegu-mtu}}
|